The world of mesut oźil

 Wakati dunia ya leo kama ukimuuliza mtu akutajie viungo bora aliowahi kuwashuhudia atakutajia iniesta,xavi,modric, KDB au Pogba n.k lakini kuna mtu mmoja asikiki sana masikioni mwa watu ni moja kati ya viungo na kipaji bora kabisa yani kuwahi kuubariki mpira barani ulaya na huyu si mwingine ni Mesut ozil


  Mesut ozil ndie mchezaji pekee duniani katika historia ya mpira wa miguu kuwa Top assist katika premier league,akiwa na klabu ya Arsenal,Top assist Bundesliga akiwa na klabu ya Werder Bremen,Top assist la Liga akiwa na Real Madrid,Top assist Champions league akiwa na Real Madrid,Top assist Europe league akiwa na Arsenal,Top assist EURO CUP akiwa na German na Top assist World cup akiwa na German national team



  Mesut ozil ni mchezaji ambaye watu hawamzungumzi sana lakini ameonesha ubora mkubwa sana ambao ulimfanya kila mtu atamani kuwa nae kwenye timu, Mesut ozil amefanikiwa kubeba German cup DFB-pokal akiwa na Werder Bremen kwa kuwafunga Bayern Leverkusen,pia ametwaa Copa de Rey na la Liga akiwa na Real Madrid na FA cup ya Uingereza 4 akiwa na Arsenal pia ni mshindi wa kombe la dunia pale Brazil 2014 akiwa na timu ya taifa ya German


  Pia Ozil ndie mchezaji pekee wa timu ya taifa ya German ambaye ameshinda tuzo nyingi za mchezaji bora wa mwaka wa ujerumani



  Mesut ozil amezaliwa October 15,1988 huko Gelsen kirchen, ujerumani amechezea timu kama schalke04, Bremen, Madrid, arsenal,fenerbahce na beskitas 


  Youth career ya Ozil

1995-1998 West falia 04Gilsen kirchen

1998-1999 Teutonia schalke-Nord

1999-2000 Falke Gelsen kirchen

2000-2005 Rot-weiss Essen

2005-2006 Schalke04 


Senior career

2006-2008 Schalke04 

2008-2010 Werder Bremen 

2010-2013 Real Madrid 

2013-2021 Arsenal 

2021-2022 Fenerbahce 

2022-retire Beskitas 


National team career

2006-2007 German u-19

2007-2009 German u-21

2009-2018 German senior team

Maoni